Friday, March 2, 2012

KULEMAA VIUNGO SIYO SABABU YA KUWA MASKINI

 Mmoja wa walemavu wa viungo wa kikundi cha Budap cha mjini Bukoba Bw, Elias Zacharia akiwa katika moja ya majukumu yake ya kila siku akiandaa ngozi kwaajili ya kutengeneza ngoma.

No comments:

Post a Comment