Friday, March 2, 2012


Baadhi ya wavuvi katika ufukwe wa ziwa victoria ukanda wa Bukoba mkoani kagera wakiandaa nyavu zao kwaajili ya kwenda kuvua samaki.PICHA na Daniel Limbe

Wanahabari wa chama cha waandishi mkoani kagera (KPC) wakipata maelekezo juu ya uendeshaji wa kituo cha kusafirisha watalii mkoani humo (KIROYERA). PICHA na Daniel Limbe.


Moja ya gengo la Kampuni ya kusafirisha watalii mkoani kagera ambalo baadhi ya waandishi wa habari  mkoani humo walikwenda kupata maelekezo juu ya shughuli za kitalii zinazofanyika hapo.

Mmoja wa walemavu wa kikundi cha BUDAP Elias Zacharia akiwa katika shughuli za uandaaji wa ngoma.


 Baadhi ya zana za kitalii zilizotengenezwa na walemavu wa kikundi cha Budap zikiwa tayali zimeshaandaliwa kwaajili ya kuuzwa kwa wananchi wa ndani na nje ya nchi.


No comments:

Post a Comment