Thursday, May 9, 2013


                                                     JESHI LA POLISI CHATO LAFUNDWA

                                  MIKUTANO YA CHADEMA WILAYANI CHATO.







                    MVUA YALETA MADHARA MAKUBWA KWA WANANCHI CHATO

Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha wilayani chato mkoani geita zimesababisha adha kubwa kwa wakazi wa kijiji cha Kasenga na Imarabupina baada ya kufulika maji kwenye daraja linalo unganisha vijiji hivyo.