Tuesday, December 11, 2012


           KAMA HALI NDIYO HII ULINZI WA RAIA NA MALI ZAO UPO MASHAKANI.

Askari wa kituo kidogo cha polisi cha Buziku wilayani chato mkoani geita wakiwa wameuchapa usingizi majira ya saa 7:30 mchana kama walivyokutwa na mmiliki wa blog hii.

No comments:

Post a Comment